Je Wewe Ni MJINGA, WA KAWAIDA au MWEREVU Linapokuja Suala la Fedha?Je Wewe Ni MJINGA, WA KAWAIDA au MWEREVU Linapokuja Suala la Fedha?
💰Kuna msemo unasema “Pata fedha tujue tabia yako.” Ukweli ni kwamba watu wote huangukia katika makundi matatu ya fedha mara tu wanapopata kipato 👇😵 Wapotezaji (WAJINGA) — Hutumia fedha kununua vitu vya kupita tu; starehe, nguo zisizo muhimu, na matumizi yasiyoleta thamani. Fedha huja na kuondoka bila kujenga kesho yao.😐 [...]
