![](https://www.amshauwezo.co.tz/wp-content/uploads/2025/02/Screenshot_20250211-053446_WhatsAppBusiness.jpg)
Shauku 5 Zilizobeba Kusudi La Maisha YakoShauku 5 Zilizobeba Kusudi La Maisha Yako
Rafiki! Kama kuna kitu kimoja unachotakiwa kwa namna yoyote ukitambue na kukiishi, basi ni kusudi la maisha yako. Kusudi la maisha yako ndiyo sababu ya wewe kuletwa hapa duniani, mengine ni ziada tu. Kati ya hasara ambayo mwanadamu huitengeneza, ni kuishi hapa duniani tena kwa muda mrefu lakini bila ya [...]