
F1: Je ungependa Uingize Fedha Angali Umelala?F1: Je ungependa Uingize Fedha Angali Umelala?
Huwezi kubeza umuhimu wa fedha katika maisha yako. Kama hutakubali kuwa fedha ni mambo yote, utakubaliana na mimi kuwa fedha ni mambo mengi. Karibu kila kitu unachohitaji maishani mwako utahitaji fedha. Hata hewa unayosema unavuta bure kuna mazingira ukiwa unaumwa utahitaji uilipie hewa hiyo. ……Fedha ni jawabu la mambo yote(Muhubiri [...]