Category: HAMASA

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwasha Moto Usiozimika Milele.Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuwasha Moto Usiozimika Milele.

Harakati za kuishi na kupata mafanikio makubwa ni sawa na kuwasha moto usiozimika. Katika mazingira ya kawaida, ili uweze kuwasha moto wa kuni unahitaji kuni na kwa kuanza kuni ndogo ambazo zitashika moto kwa wepesi kisha uwepo wa kuni kubwa ili ziwake kwa muda mrefu. Ili moto huo uendelee kuwepo [...]

Huwezi Kuona Mwanga Wa Mafanikio Yako Bila Kubonyeza Swichi Hii.Huwezi Kuona Mwanga Wa Mafanikio Yako Bila Kubonyeza Swichi Hii.

Hata ukiwa kwenye chumba chenye giza nene lakini ukifanikiwa kubonyeza swichi ya taa ya umeme, mwanga utatokea na nuru itatawala. Baada ya nuru kutawala ndipo unaweza kuona vitu vingi ambavyo mwanzoni ulikuwa huvioni. Mara nyingi swichi hujificha hivyo lazima utambue wapi ilipojificha ili kuweza kufanikiwa kuliondoa giza hilo. Bila hivyo [...]

Fanya Hivi Ili Kuifurahia Kesho Yako Kuliko Unavyoijutia Leo.Fanya Hivi Ili Kuifurahia Kesho Yako Kuliko Unavyoijutia Leo.

Maisha yako ya leo hayajatengenezwa leo, bali ni matokeo ya kile ulichokifanya siku za nyuma. Kama umepiga hatua kubwa au hujasogea, ujue si kwa sababu ya ulivyofanya leo bali ni matunda ya yale uliyafanya jana na muda uliopita. Ni sawa na matunda unayokula na kuyafurahia leo, hayatokani na mti uliyopanda [...]

Ngazi Tayari Unayo, Kwa Nini Hupandi Juu?Ngazi Tayari Unayo, Kwa Nini Hupandi Juu?

Kama upo sehemu na unataka kupanda sehemu ya juu zaidi, unaweza kutumia kifaa kama ngazi kupanda huko. Urefu wa ngazi ndiyo unaweza kuamua wapi ufike. Kama ukimuona mtu yupo chini na analalamika kuwa anashindwa kupanda juu wakati ngazi ipo pembeni yake, ungemshangaa sana. Yamkini na wewe ungemlaumu sana na kumuambia [...]

Ulichonacho Sasa Ndicho Kinachokuzuia Kupata Unachostahili.Ulichonacho Sasa Ndicho Kinachokuzuia Kupata Unachostahili.

Kuna mafanikio fulani ambayo umeshayapata mpaka sasa. Unastahili kujipongeza au kupongezwa kwa ajili ya hayo. Lakini ukilinganisha kile ulichokipata na kile ulichostahili, kuna safari ndefu unayotakiwa kupiga. Kuna mazingira ambayo mafanikio ya sasa au vitu vingine ulivyonavyo vimekuwa vikwazo kupata ulichostahili. Umekuwa ukitafuta aliyesababisha kutoyafikia mafanikio yako makubwa uliyostahili, lakini [...]

Mafanikio Yako Yapo Kwenye Vitu Usivyopenda Kuvifanya.Mafanikio Yako Yapo Kwenye Vitu Usivyopenda Kuvifanya.

Mbio za kutafuta mafanikio zimekuwa ni ndefu tena ngumu sana. Watu wanavuja jasho hata damu ili kuyapata mafanikio. Watu wanapanda milima na mabonde ili kuyatafuta mafanikio. Watu wanasafiri umbali mrefu kwa lengo la kutafuta mafanikio. Watu wengine wanafanya hata mauaji kwa lengo la kupata mafanikio. Licha ya jitihada zote hizo [...]

Siri Ya Mafanikio Iliyojificha Kwenye Kuamka Mapema.Siri Ya Mafanikio Iliyojificha Kwenye Kuamka Mapema.

Moja ya nidhamu ambayo imekuwa changamoto kwa watu wengi ni kuwahi kuamka. Usingizi umekuwa mtamu kwa watu wengi kunapokaribia kucha na hivyo wengi kushindwa kuwahi kuamka. Inapofika saa kumi au saa kumi na moja alfajiri, watu ndiyo huvuta shuka vizuri ili waweze kumalizia usingizi wao. Lakini moja ya tabia ambayo [...]

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuiyeyusha Hofu Yako Na Kuendelea Na Safari.Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuiyeyusha Hofu Yako Na Kuendelea Na Safari.

Hofu imekuwa ni ukuta mkubwa sana unaojengwa kati ya mtu na mafanikio yake. Watu wengi wameshindwa kuchukua hatua sahihi kwa sababu ya hofu kusimama mbele yao. Kwa sababu ya kikwazo hiki kikubwa cha mafanikio, watu wametamani hofu ingekuwa kiumbe hai, ili siku moja ife. Kwa bahati mbaya hofu ipo kila [...]

Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuunguza Changamoto Zako Na Kupata Kile Ulichokitafuta Kwa Muda Mrefu Bila Mafanikio.Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuunguza Changamoto Zako Na Kupata Kile Ulichokitafuta Kwa Muda Mrefu Bila Mafanikio.

Je wajua kuwa jua ndiyo chanzo kikuu cha nguvu hapa duniani? Nguvu unazozitumia kutembea zimetoka kwenye vyakula unavyokula ambavyo vimetokana na mimea ambayo nayo imepata nguvu kutoka kwenye jua. Kuni unazotumia kuivishia chakula au tofali zina nguvu ambazo zinatokana na jua. Kumbe siku jua likigoma kuwaka utakuwa mwisho wetu! Licha [...]

Jifunze Siri Hii Kutoka Kwa Simba; Itakuwezesha Kupata Chochote Unachotaka.Jifunze Siri Hii Kutoka Kwa Simba; Itakuwezesha Kupata Chochote Unachotaka.

Mnyamapori akimuona simba huona kifo machoni pake. Lakini habari ni tofauti kwa simba, yeye akimuona mnyamapori anaona ni kitoweo kilichokaribia mdomo wake. Hii ni sinema ya ajabu ambayo simba anaitengeneza. Ni siri gani simba anazo zinazomfanya wanyama wamuogope kiasi hicho? Simba akiliona kundi la wanyama kama vile swala bila kujali [...]