Category: KUSUDI

Hii Ndiyo Njia Pekee Ya Kuwa Tayari Kupita Kwenye Moto.Hii Ndiyo Njia Pekee Ya Kuwa Tayari Kupita Kwenye Moto.

Mama ambaye mwanae yupo chumbani kwenye nyumba inayoungua moto ana ujasiri wa kujaribu kuingia kwenye chumba hicho ili amuokoe mwanae. Mtu anayeumwa huwa radhi kuvumilia maumivu makali ya sindano ili apate kupona. Au hata ikitakiwa kukata mwili au kiungo ili aweze kupona, hatua hiyo hufanyika ili kuokoa maisha yake. Ujasiri [...]

Usijipunje! Unajilinganisha Na Nani?Usijipunje! Unajilinganisha Na Nani?

Tupo zaidi ya watu milioni 8 duniani  kwa sasa. Ni idadi kubwa sana ya watu na unaweza kufikiri kuwa kuna nafasi wewe kufanana na mtu mwingine.  Lakini nikuhakikishie rafiki yangu kuwa hakuna mtu yoyote unayefanana na wewe kwa kila kitu. Hii inamaanisha kuwa licha ya kufanana na mtu mwingine, lakini [...]

Hivi Ndivyo Umekuwa Ukilisukuma Gari Ukiwa Ndani Ya Gari Hilo Ukitarajia Litatembea.Hivi Ndivyo Umekuwa Ukilisukuma Gari Ukiwa Ndani Ya Gari Hilo Ukitarajia Litatembea.

Moja mbili tatu, sukuma! Moja mbili tatu, sukuma! Mbona gari halisogei? Hizi zilkuwa ni sauti za watu waliokuwa wanasukuma gari angali na wao wakiwa wamepanda humo humo. Licha ya idadi yao kuwa kubwa na wakiwa wenye nguvu lakini jitihada zao hazikuweza kuzaa matunda ya kulifanya gari lisogee. Jambo hili liliwafanye [...]

Kwani Unasubiri Nini?Kwani Unasubiri Nini?

Nitafanya kesho. Nikipata kitu fulani nitafurahi sana! Mambo yangu yakiwa mazuri nitaanza! Ningekuwa kama fulani nimefanikiwa! Serikali ingekuwa inafanya hiki mambo yangu yangenyooka! Wazazi wangu wangenisomesha nisingekuwa hivi. Hizi ni kauli zilizozoeleka miongoni mwa watu. Hizi kauli zinazoonesha kuna kitu mtu anahisi amepungukiwa hivyo kumfanya aendelee kusubiria au kuwa na [...]

Hii Ni Siri Ambayo Hujawahi Huifahamu. Kwa Nini Ulizaliwa Ukiwa Umevikunja Vidole?Hii Ni Siri Ambayo Hujawahi Huifahamu. Kwa Nini Ulizaliwa Ukiwa Umevikunja Vidole?

Ulipokuwa unazaliwa ulivikunja vidole vyako vya mkono kutengeneza ngumi. Namna ulivyovikunja ni sawa na pale unapokuwa umeshikilia kitu kwa umakini mkubwa ili kisianguke. Hivyo ndivyo na wewe ulivyoifanya mikono yako. Lakini swali kubwa ambalo utajiuliza ni kuwa muda huo ndiyo ulikuwa umetoka tu tumboni mwa mama yako, ulikuwa umeshikilia nini [...]

Hiki Ndiyo Kitu Cha Kwanza Unachotakiwa Ukifanye Ili Kuishi Maisha Yako Halisi.Hiki Ndiyo Kitu Cha Kwanza Unachotakiwa Ukifanye Ili Kuishi Maisha Yako Halisi.

Kila mtu ana kitu cha thamani ndani yake, kitu hicho ni uwezo wa kipekee alionao ndani yake. Uwezo huo ndiyo utakaomwezesha mtu kuishi maisha yake halisi. Ni kupitia uwezo huo mtu anaweza kuishi maisha yake ya thamani. Kwa kutumia uwezo mtu anaweza kuishi kusudi la maisha yake kikamilifu. Ni kupitia [...]

Hivi Ndivyo Unavyozidi Kuteketeza Maisha Yako Bila Ya Kujua.Hivi Ndivyo Unavyozidi Kuteketeza Maisha Yako Bila Ya Kujua.

Ukiwasha mshumaa utawaka huku ukitoa mwanga na joto. Lakini kadri muda unavyoendelea mshumaa huo utazidi kuwaka huku ukiendelea kupungua na kama hautazimwa, utaisha kabisa. Ukishaisha hutaweza kuurejessha tena na kuutumia. Kitendo hiki cha kutumia mara moja bila ya kuwa na uwezo wa kurejesha huitwa kuteketea. Maisha yako ni kama mshumaa [...]

Huyu Ndiye Mtu Sahihi Wa Kujilinganisha Naye Ili Uweze Kupiga Hatua Kamili.Huyu Ndiye Mtu Sahihi Wa Kujilinganisha Naye Ili Uweze Kupiga Hatua Kamili.

Ni hulka ya watu kujilinganisha kujua kama anapiga hatua au la. Kuna faida kubwa ya kujilinganisha kwani ndipo unapoweza kujua ulipofika na unakotakiwa kufika. Licha ya faida hiyo lakini kuna changamoto kubwa ya unajilinganisha na nani? Ulinganisho unakuwa na faida pale tu unapojilinganisha na mtu sahihi. Ukijilinganisha na mtu sahihi [...]

Zijue Siri Tano(5) Za Nyuki Unazoweza Kutumia Kutengeneza Utamu Wa Maisha Yako.Zijue Siri Tano(5) Za Nyuki Unazoweza Kutumia Kutengeneza Utamu Wa Maisha Yako.

Nyuki ni miongoni mwa wadudu wanaotengeneza zao ambalo lina sifa za kipekee. Nyuki hutengeneza asali ambayo inasifika kwa utamu, kwa sababu ya utamu huo mkubwa, watu wanadiriki kufananisha asali hiyo na mapenzi. Zaidi ya utamu huo, asali inatumika kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali. Hili ni zao ambalo linatengenezwa na mdudu [...]

Anza Kuishi Maisha Yako Sasa Baada Ya Kuishi Ya Watu Wengine Kwa Muda Mrefu.Anza Kuishi Maisha Yako Sasa Baada Ya Kuishi Ya Watu Wengine Kwa Muda Mrefu.

Maisha yako ya hapa duniani yameambatana na muda wako wa kuyaishi maisha hayo. Huu ni muda unaotarajiwa uishi maisha yako kikamilifu. Watu wengi wamekuja kushangaa kuwa, kumbe walikuwa hawayaishi maisha yap pale muda wao unapokuwa umeshaisha. Kwa kufanya hivyo wamekuwa wakikazana kumsaidia ndege aruke wakati wao ni samaki na ilibidi [...]