Category: Uncategorized

Mambo Matano(5) Ya Kufanya Baada Ya Kuchelewa Kuanza KuishiMambo Matano(5) Ya Kufanya Baada Ya Kuchelewa Kuanza Kuishi

Maisha ya mwanadamu yapo kwenye muda tangu kuzaliwa kwake mpaka anapokufa. Katika kipindi hicho ndipo anapotarajiwa kuishi maisha yake. Historia anayoiacha duniani baada ya kufa hutegemea kile alichokifanya kipindi cha uhai wake. Bahati mbaya baada ya kufa hawezi kuibadili historia yake. Binadamu huwa na mipango mingi sana wakati anaendelea kuishi [...]

Ikimbize Siku, Usiiache IkukimbizeIkimbize Siku, Usiiache Ikukimbize

Moja ya vitu vinavyolalamikiwa na watu wengi ni ufinyu wa muda. Limekuwa lalamiko la watu kuwa muda hautoshi. Kila unayemuuliza kwa nini hafanyi kitu fulani, atakwambia hana muda. Kwa mfano kwa nini watu wengi hawasomi vitabu vya kuongeza maarifa ya maisha yao binafsi au kuhusu kazi zao, watakuambia hawana muda. [...]

Tengeneza Mtazamo Kisha Weka ViwangoTengeneza Mtazamo Kisha Weka Viwango

Kuna chujio lipo katikati ya vitu halisi na macho ya binadamu. Chujio hilo ni mtazamo. Vitu vingi unavyoviona si katika uhalisia wake bali kulingana na chujio hilo. Kumbe watu wawili wanaweza wakakutana na jambo moja lakini wakawa wanaona tofauti. Hii ni sababu mojawapo ya watu kutofautiana viwango vya mafanikio hata [...]

Sababu Tano(5) Za Kwa Nini Mbegu Ya Uwezo Wako Haizalishi Msitu Wa MafanikioSababu Tano(5) Za Kwa Nini Mbegu Ya Uwezo Wako Haizalishi Msitu Wa Mafanikio

Mbegu yoyote ya mti inakuwa imebebea msitu ndani yake. Hii hutokea pale mbegu ile inapozikwa kwenye udongo, kuota na kisha kukua na kuwa mti mkubwa unaoweza kuzalisha mbegu nyingine. Mbegu za mti huo zikioteshwa zaitazalisha mbegu nyingine nyingi na hivyo baadaye kutengeneza msitu. Lakini mbegu hiyo haitafikia hatua ya kuwa [...]

Unataka Mafanikio Zaidi? Anza Kulipia Gharama Hizi Tano(5).Unataka Mafanikio Zaidi? Anza Kulipia Gharama Hizi Tano(5).

Ukienda dukani kununua bidhaa, uwingi wa bidhaa utakazozipata itategemea pia na kiasi cha gharamaambazo utakuwa upo tayari kuzilipa. Kadri utakavyolipia kiasi kikubwa ndivyo utakavyoweza kupata bidhaa nyingi. Kama utakuwa unataka bidhaa bora na za ghali, utatakiwa ulipie kiasi kikubwa zaidi ili uweze kupata bidhaa nyingi zaidi. Ni hamu ya kila [...]

Njia Tano(5) Za Kutoka Kwenye Uvuguvugu Na Kuwa Mtu Wa Moto.Njia Tano(5) Za Kutoka Kwenye Uvuguvugu Na Kuwa Mtu Wa Moto.

Naamini umekutana mara nyingi na maji ya vuguvugu. Licha ya kuwa na umotomoto kwa mbali, lakini maji hayo huwa yanakuwa hayana maajabu yoyote kwani hata ukiweka mkono wako kwa muda mrefu huwezi kuungua. Pia huwezi kutumia maji hayo kupashia au kuivishia chakula. Kadhalika huwa inakuwa ni suala la muda mfupi [...]

Usikubali Kuzuiwa Na Vikwazo Hivi Vinne (04) Kwenye Safari Yako Ya Mafanikio.Usikubali Kuzuiwa Na Vikwazo Hivi Vinne (04) Kwenye Safari Yako Ya Mafanikio.

Maji yanayopita juu ya ardhi huhangaika kutafuta njia ya kupita kila wakati. Ikitokea yamezuiwa kushoto yatahamia kulia. Yakizuiwa kushoto na kufanya yasimame, kuna mengine yatashuka ardhini wakati mengine yakipanda angani kama mvuke. Safari ya maji inafananishwa na safari yako ya mafanikio. Umeweka mipango mingi iliyo mizuri kwa ajili ya utekelezaji. [...]